Kituo cha mafunzo cha Benki ya Exim chatunukiwa cheti cha kimataifa cha ubora


PIX 1

Mwakilishi wa Kampuni ya ukaguzi ya ACM Tanzania Tawanda Manyuchi (kushoto) akipeana mkono na Meneja Mwandamizi wa Benki ya Exim – Mafunzo na Maendeleo Priti Punatar kabla ya kukabidhi cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango cha ISO kwa kituo cha mafunzo cha benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Akishuhudia wapili kushoto ni Meneja Msaidizi Mafunzo na Maendeleo Japhet Kemboi. (Picha na mpiga picha wetu).

PIX 2

Afisa Fedha Mkuu wa Benki ya Exim Selemani Amani (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati wa hafla ya kupokea cheti cha kimataifa cha ubora wa viwango cha ISO kilichotunukiwa kwa kituo cha mafunzo cha benki hiyo. Kutoka kushoto ni Meneja Msaidizi Mafunzo na Maendeleo Japhet Kemboi na Mkuu wa kitengo cha kudhibiti Majanga wa Benki ya Exim David Lusala. 

View original post 475 more words